Andy Murry.
Bingwa namba moja katika mchezo wa Tenisi Uingereza kwa wanaume Andy Murry amesema kwasasa anaweza kufanya mazoezi kwa asilimia mia moja tangu afanyiwe upasuaji wa mgongo mwaka jana.
Murry mwenye umri wa miaka 27 amesema hakuwa akifanya mazoezi sana tangu kuanza kwa mwaka huu kutona na maumivu ya mgongo lakini hivi sasa amepona vyema na anaweza kujifua kwa asilimia mia moja.
Muingereza huyo ambaye alifanyiwa upasuaji mwezi wa 9 mwaka jana na kurejea uwanjani mwezi wa 12 amebainisha kuwa alipofanyiwa upasuaji huo hakuweza kufanya baadhi ya mazoezi lakini kwasasa anaweza fanya.
Mchezaji huyo ambaye ni bingwa wa
mwaka jana katika michuano ya Wimbledone hivi karibuni alitangaza kuwa
mwanamama Amelie Mauresmo ataendelea kuwa
kocha wake na hivi sasa anajiandaa kushiriki mashindano ya wazi ya Marekani
yanayotaraji kuanza tarehe 25 ya mwezi huu.
Ufuatao ni msimamo mpya wa
ubora wa Tenisi duniani kwa upande wa wanaume. (ATP singles rankings 4 August
2014)
1. Novak Djokovic (Ser) 2. Rafael Nadal (Spa)
3. Roger Federer (Swi)
4. Stanislas Wawrinka (Swi)
5. Tomas Berdych (Cze)
6. Milos Raonic (Can)
7. David Ferrer (Spa)
8. Grigor Dimitrov (Bul)
9. Andy Murray (GB)
10. Juan Martin Del Potro (Arg)
11. Kei Nishikori (Jpn)
12. Ernests Gulbis (Lat)
13. Richard Gasquet (Fra)
14. John Isner (US)
15. Jo-Wilfried Tsonga (Fra)
16. Roberto Bautista Agut (Spa)
17. Alexandr Dolgopolov (Ukr)
18. Marin Cilic (Cro)
19. Fabio Fognini (Ita)
20. Tommy Robredo (Esp)
Other Britons in top 300:
150. James Ward
156. Daniel Evans
206. Daniel Cox
210. Kyle Edmund
243. Daniel Smethurst
292. David Rice
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment