Hekaheka za kuwania kuingia hatua ya makundi kwenye michuano ya klabu bingwa barani Ulaya maarufu kama Uefa Champions League zinaanza leo ambapo vilabu 10 vinaraji kucheza michezo yao ya kwanza.
Mipambano hiyo ambayo itachezwa majira ya saa tatu na dakika arobaini natano usiku kwa saa za Afrika ya Mashariki timu ya Arsenal itakuwa ugenini kucheza na Besiktas wakati Napoli ya Italia itakuwa nyumbani kuikaribisha Atletico Bilbao.
Fc København itakuwa ikiikaribisha Bayer Leverkusen ya Ujerumani wakati Steaua Bucurest itakuwa mwenyeji wa Ludogorets .
Katika michezo mwengine Sulzbarg itakuwa kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Red Bull Arena kukabiliana na Fc Malmo ya nchini Sweden na michezo hatua hiyo ya awali itaendelea tena kesho kwa michezo 10.
Michezo ya kesho.
AaB 21:45 Apoel
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment