Rais wa shirikisho la kandanda nchini Tff Jamal Malinzi
Maofisa wa Shirikisho la Kimataifa
la Mpira wa Miguu (FIFA) wanawasili nchini kesho (Agosti 10 mwaka huu)
kuangalia jinsi mchezo huo unavyoondeshwa nchini.
Ujumbe huo wa FIFA utakaokuwa na
maofisa sita, baada ya ziara yake utashauri jinsi ya kuboresha uendeshaji huo
katika kikao cha pamoja kati yake na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira
wa Miguu Tanzania (TFF) kitakachofanyika mwishoni mwa wiki ijayo.
BONIFACE
WAMBURA
OFISA
HABARI NA MAWASILIANO
SHIRIKISHO
LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment