Kiungo mpya wa wa Bayern munich Xabi Alonso.
Hatimae
mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani klabu ya Bayern Munich wamekamilisha usajili
wa kiungo Jabi Alonso kutoka Real Madrid uhamisho uliowagharimu kiasi cha Euro
milioni 10.
Mabingwa hao
wa Bundesliga wamethibitisha kupitia tovuti yao kwamba kiungo huyo mwenye umri
wa miaka 32 amesaini mkataba wa
kuichezea timu hiyo inayofundishwa na kocha Pep Guardiola hadi mwaka 2016.
Alonzo
ambaye jumatano ya wiki hii alitangaza kustaafu soka la kimataifa aliwasilisha
barua ya kutaka kuondoka Santiago Bernabeu baada ya kusajiliwa wa kiungo Toni Kroos kutoka Bayern Munich na
Jemes Rodriguez kutoka Monaco ya Ufaransa.
Kiungo mpya wa Bayern Munich Xabi Alonso.
Kiungo mpya wa Bayern Munich Xabi Alonso.
Alonzo
amesajiliwa ili kuiongezea nguvu safu ya kiungo wakati ya Bayern Munich baada
ya kuumia kwa wachezaji Javi Martinez, Bastian Schweinsteiger na Thiago
Alcantara.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment