Tony Pulis.
Wakati
ligi kuu ya England ikitaraji kuanza kesho aliyekuwa kocha wa timu ya Crystal
palace Tony Pulis kwakile kilichotajwa kutoridhishwa na mipango
ya usajili ya klabu hiyo msimu huu.
Pulis mwenye umri wa miaka 56 jana jioni alifanya mazungumzo na mwenyekiti wa timu hiyo Steve Parish nakufikia uamuzi huo kutokana na kutowezeshwa kusajili kati ya wachezaji aliokuwa anawataka kama Gylfi Sigurdsson na Steven Caulker.
Pulis mwenye umri wa miaka 56 jana jioni alifanya mazungumzo na mwenyekiti wa timu hiyo Steve Parish nakufikia uamuzi huo kutokana na kutowezeshwa kusajili kati ya wachezaji aliokuwa anawataka kama Gylfi Sigurdsson na Steven Caulker.
Katika msimu
huu wa usajili timu hiyo imesajili wachezaji wane pekee wawili ambao ni Fraizer
Campbell na Martin Kelly ndio
walionunuliwa kwa huku wawili Chris Kettings na Brede Hangeland wakijiunga na kikosi kwa
uhamisho huru.
Crystal Palace ambayo kesho itaanza ligi kuu ya
England kwakucheza na Arsenal itakuwa chini ya kocha msaidizi Keith Millen hadi pale kocha mkuu
atakapopatikana.
Pulis
ambaye aliteuliwa kuwa kocha wa bora wa ligi kuu ya England mwezi wa tano mwaka jana wakati anaifundisha
Stock City alikuchukua nafasi Ian Holloway mwezi wa 11 nakuisaidia placed
kumaliza katika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment