Timu ya Fc
Barcelona imemtakanza kiungo Xavi Hernandez kuwa nahodha mpya kuchukua nafasi
ya Carles Puyol aliyestaafu hivi karibuni.
Xavi
mwenye umri wa miaka 34 ameanza kazi nhiyo rasmi na atafaa kitambaa hicho
katika msumu mpya wa ligi 2014/2015 na atakuwa akisaidiwa na Andres Iniesta ambaye
pia atapokezana na Leonel Messi na Sergio Buskets.
Msimu uliopita
Victor Valdes alikuwa nahodha namba tatu
baada ya Puyol na Xavi lakini mlindamlango huyo ameondoka klabuni hapo
baada ya kumalizika kwa mkataba wake na Wakatalunia hao.
Xavi
ambaye anakaribia kufikisha michezo 500 ya La liga akiwa na Fc Barcelona tangu mwaka
1998 ameshatwaa mataji 7 ya ligi kuu ya Hispania na mataji matatu ya klabu bingwa Ulaya na
mawili ya Copa del Reys.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment