Kocha wa nachester United Louis Van Gaal
Kocha mkuu
wa mancheter United Louis Van Gaal Ametangaza orodha ya wachezaji wapatao 25
watakaosafiri na kikosi hicho kuelekea Marekani kucheza mechi za kujiandaa na
msimu mpya wa ligi kuu ya England unaotaraji kuanza mwezi ujao.
Katika
orodha hiyo wapo nyota 10 walioshiriki kwenye fainali za kombe la dunia nchini
Brazil kwakuziwakiliza timu zao za taifa wakiongozwa na Wayne Rooney pamoja na
wachezaji wapya Luke Show na Ander Herrera.
wachezaji waliokuwepo kwenye
kombe la dunia mwaka huu wakiwa kwenye vikosi vya timu zao za taifa ni Luke Shaw, David de Gea, Shinji Kagawa, Chris
Smalling, Phil Jones, Juan Mata, Antonio Valencia, Danny Welbeck na Luis Nani.
wachezaji
ambao hajajumuishwa kwenye safari hiyo ya kwenda Marekani kwa sababu ya timu
zao za taifa kuingia hatua raundi ya pili
ni Patrice Evra, Javier Hernandez, Robin van Persie, Adnan Januzaj na Marouane Fellaini.
Van Gaal pia amewajumuisha chipkizi Tyler Blackett na Jesse Lingard ambao wamepewa nafasi kutokana na kuwa na dalili za kumvutia kocha huyo.
Van Gaal pia amewajumuisha chipkizi Tyler Blackett na Jesse Lingard ambao wamepewa nafasi kutokana na kuwa na dalili za kumvutia kocha huyo.
Ikiwa Marekani United itacheza mchezo wa kwanza wa kirafiki na LA Galaxy july 23 kabla ya kucheza michezo mingine na Roma,Inter Milan na Real Madrid kati ya july 26,juky 29 na Augost 2 mwaka huu.
Hiki ni kikosi kamili cha Manchester United
kitakachoanza ziara yake nchini Marekani: David de Gea, Anders Lindegaard, Sam Johnstone, Ben Amos, Rafael, Jonny
Evans, Chris Smalling, Phil Jones, Luke Shaw, Tyler Blackett, Michael Keane,
Reece James, Ander Herrera, Tom Cleverley, Darren Fletcher, Ashley Young,
Wilfried Zaha, Shinji Kagawa, Juan Mata, Antonio Valencia, Nani, Jesse Lingard,
Danny Welbeck, Will Keane, Wayne Rooney.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment