Bondia Francis Miyeyusho akiwa na wapambe wake kwenye mmoja ya mipambano yake.
Bondia Francis Miyeyusho amesema
atakuwa tayari kurejea ulingoni mara baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa
ramadhani, kufuztia hivi sasa mapromota wengi wapo kwenye mpango wa kutimiza
ibada hiyo kwa waumini wa dini ya kiislam.
Amesema mara baada ya kupanda
ulingoni mara mbili mfululizo miezi miwili iliyopita kwa sasa anajifua
ipasavyo, huku akisubiri Promota yoyote ambae atakuwa taayri kumuandalia
pambano.
hatahivyo Miyeyusho amesema angependa kuandaliwa pambano na bondia yeyote mwenye uwezo wa kucheza naye huku akihimiza uaminifu kwa mapromota hapa nchini kwakuwa wapo baadhi yao hawajali maslahi ya mabondia na badala yake hujinufaisha wenyewe tuu.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment