Arturo Vidal.
Ndoto za Manchester United kumsajili mchezaji wa Juventus na timu ya taifa ya Chile Arturo Vidal, zimeota mbawa baada ya nyota huyo kusema hanampango wa
kujiunga na timu hiyo.
Vidal ambaye amekuwa akihusishwa kuhamia old Traford kwa
msimu huu wa usajili amesema kuwa anafuraha kuendelea kucheza katika ligi kuu ya Italia hivyo.
Hata hivyo Vidal amesema kuwa atazungumza na kocha wa timu
hiyo, Massimiliano Allegri kuhusiana na kutokuwa na mpango wowote wa kuondoka
katika kikosi hicho na kwenda Manchester United.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment