Dejan Lovren.
Timu ya soka ya Liverpool
imekamilisha usajili wa mlinzi Dejan Lovren kutoka Southampton kwa uhamisho wa Euro
milioni 24 nakuwa mchezaji watano kusajiliwa na kocha Brendan Rodgers.
Lovren ambae ni raia wa
Croatia anaungana na wachezaji wenzake aliocheza nao kwenye timu ya Southampton
Rickie Lambert na Adam Lallana waliohamia
Anfield msimu huu wa usajili barani Ulaya.
Akizungumza mara baada ya
kukamilisha uhamisho wake Lovren amesema anajisikia furaha kwa ndoto zake kukamilika
kwakuwa alikuwa alipokuwa akicheza Anfield msimu uliopita akiwa na Southampton
alikuwa akiwaza kuchezea Liverpool siku mmoja.
Kusajiliwa kwa Lovren ni
habari mbaya kwa timu za Arsenal na Tottenham Hotspurs ambazo zote kwa pamoja zilikuwa
zinamwania mchezaji huyo.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment