Pages

Ads 468x60px

Thursday, July 24, 2014

MO FARAH AJITOA KATIKA MASHINDANO YA JUMUIA YA MADOLA.






                                   Mo Farah.

Mwanariadha Mo Farah amejitoa kushiriki mashindano  ya  Commonwealth  mjini Glasgow nchini Scottland baada ya kuchelewa kupona  haraka homa.
Frah mwenye umri wa miaka 31 amewahi kushinda mbio za mita elfu tano na mita elfu kumi mjini Londoni mwaka 2012 na alikuwa ashiriki mbio hizo katika michuano hiyo ya mwaka huu nchini Scotland.
Mwanariadha huyo licha ya kuamua kubaki katika kambi ya ya mazoezi kujiweka fiti kwaajili ya mashindano ya European Championships  mjini Zurich Uswiss  amesema amejisikia vibaya kutoshiriki mashindano ya Commonwealth mwaka huu.
Wafuatao ni wanariadha ambao hawatakuwepo kwenye mashindano ya Commonwealth mwaka huu mjini Glasgow.
Yohan Blake (Jamaica) - Ex-world 100m champion- hamstring operation
Mark Cavendish (Isle of Man) - Ex-world champion cyclist - shoulder injury
Dwain Chambers (England) - British 100m champion - Euro focus
Jessica Ennis-Hill (England) - Olympic heptathlon champion - had a baby
Mo Farah (England) - Olympic 5,000m & 10,000m champion - illness
Becky James (Wales) - Two-time world champion cyclist - knee injury
Katarina Johnson-Thompson (England) - Heptathlon star - foot injury
Asafa Powell (Jamaica) - Ex-world 100m record holder - banned
Farah ambaye ni rai wa Uingereza ameongeza kuwa pamoja na kutamani kushiriki mashindano ya mwaka huu lakini  mwili afya yake haimruhusu kutokana na homa.
Mjamaika Yohan Blake ambaye ni mshindi wa medali ya fedha  kwenye mbio za 100 na 200  katika michuano ya Olympic mwaka 2012 mjini London ameshindwa kushiriki michuano hii ya Commonwealth kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya misuli ya paja huku Muingereza Karatina Johnson-Thomptos akijitoa kutokana na kuumia mguu.

                         Mkule.blogsport.com

No comments:

Post a Comment