skip to main |
skip to sidebar
RASMI MASSIMILLIANO ALLEGRI BOSS MPYA WA JUVENTUS.
Massimilliano Allegri
Rasmi uongozi wa mabingwa wa ligi kuu ya
Italia Juventus wamemtangaza Massimilliano Allegri kuwa kocha mkuu wa
kikosi chao kuchukua nafasi Antonio Conte aliyejiuzulu jana.
Allegri mwenye umri wa miaka 46 mara baada
ya kutangazwa rasmi kuchukua mikoba ya Conte amesema ni heshima kubwa sana
kwakwe nakuahidi atahakikisha kikosi cha Juventus kinatwaa vikombwe mbalimbali
barani Ulaya.
Allegri ameshashinda taji la ligi kuu ya
Italia akiwa na Milan msimu wa 2010/2011.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment