Shirikisho la soka duniani Fifa leo limetoa msimamo wa ubora
wa soka ambapo Ujerumani imeshika nafasi ya kwanza kwa mara ya kwanza baada ya muda wa miyongo miwili kupita.
Nafasi ya pili imechukuliwa na Argentina huku Uholanzi ikipanda
kwa nafasi 12 hadi nafasi ya tatu na Hispania ikiporomoka hadi katika nafasi ya
8 baada ya kuonyesha kiwango kibaya kwenye fainali za kombe la dunia mwaka huu.
Katika msimamo huo England imeporomoka hadi katika nafasi ya
20 kufuatia vipigo walivyovipata katika
fainali za kombe la dunia mwaka huu kutoka kwa Italia na Uruguay nakisha kutoka
sare na Costa rica.
Wenyeji wa fainali za kombe la dunia mwaka huu Brazil
imeshuka kwa nafasi 4 hadi katika nafasi ya 7 huku Colombia waliofikia hatua ya
robo fainali kwenye kombe la dunia mwaka huu imepanda kwa nafasi 4.
Ubelgiji na Ufaransa zimenufaika na kufika kwao hatua ya robo
fainali kwenye kombe la dunia mwaka huu
na kushiki nafasi za 5 na ya 10.
Msimamo kwa mataifa 30 ya kwanza.
Rnk
|
Team
|
Pts
|
+/- Pos
|
|||
1
|
Germany
|
1724
|
1
|
|||
2
|
Argentina
|
1606
|
3
|
|||
3
|
Netherlands
|
1496
|
12
|
|||
4
|
Colombia
|
1492
|
4
|
|||
5
|
Belgium
|
1401
|
6
|
|||
6
|
Uruguay
|
1330
|
1
|
|||
7
|
Brazil
|
1241
|
-4
|
|||
8
|
Spain
|
1229
|
-7
|
|||
9
|
Switzerland
|
1216
|
-3
|
|||
10
|
France
|
1202
|
7
|
|||
11
|
Portugal
|
1148
|
-7
|
|||
12
|
Chile
|
1098
|
2
|
|||
13
|
Greece
|
1091
|
-1
|
|||
14
|
Italy
|
1056
|
-5
|
|||
15
|
USA
|
989
|
-2
|
|||
16
|
Costa Rica
|
986
|
12
|
|||
17
|
Croatia
|
955
|
1
|
|||
18
|
Mexico
|
930
|
2
|
|||
19
|
Bosnia and Herzegovina
|
917
|
2
|
|||
20
|
England
|
911
|
-10
|
|||
21
|
Ecuador
|
901
|
5
|
|||
22
|
Ukraine
|
898
|
-6
|
|||
23
|
Russia
|
897
|
-4
|
|||
24
|
Algeria
|
872
|
-2
|
|||
25
|
Côte d'Ivoire
|
850
|
-2
|
|||
26
|
Denmark
|
807
|
-3
|
|||
27
|
Scotland
|
734
|
0
|
|||
28
|
Romania
|
733
|
1
|
|||
29
|
Sweden
|
724
|
3
|
|||
30
|
Venezuela
|
720
|
10
|
msimamo zaidi tembelea www.fifa.com
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment