Van Gaal akiwa na vijana wake.
Wakati Manchester United
ikiendelea na maandalizi ya msimu mpya wa ligi kocha Louis van Gaal ameionya
timu hiyo kutotarajia mafanikio ya haraka kwakuwa itawachukua muda wa miezi
mitatu kuzoea ufundishaji wake.
Kocha huyo wazamani wa timu ya
taifa ya Uholanzi akizungumza akiwa
nchini Marekani amesema katika kila klabu aliyowahi kuifundisha amekuwa na kawaida ya kutumia miezi mitatu
kwa wachezaji kuzoea mfumo anaofundisha nahuwa si jambo rahisi.
Van Gaal amesema huwa anapenda
kufundisha akili kuelewa na sio miguu jambo mhimu kwa wachezaji kufahamu ni
kufanya kile anachowaelekeza nakuongeza kwamba nahilo si jambo rahisi.
Van Gaal ambaye alichukua
nafasi ya kocha David Moyes amekuwa na matokeo mazuri katika michezo yake ya
kwanza ya kirafiki akiwa na Manchester United na leo timu hiyo imeifunga Inter
Milan kwa mikwaju ya penati 5 kwa 3.
Wilfred Zaha kazini.
Wilfred Zaha kazini.
Nyota mpya wa Manchester United Ander Herrera akimkabili nyota wa Inter Milan leo.
Nyota mpya wa Manchester United Ander Herrera mzigoni.
Mata kazini.
Vijana wa Van Gaal mzigoni.
Vijana wa Man United wakisikiliza maelezo.
Hapa vijana wa Van Gaal wakipongezana.
Mata kazini.
Vijana wa Van Gaal mzigoni.
Vijana wa Man United wakisikiliza maelezo.
Hapa vijana wa Van Gaal wakipongezana.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment