Licha ya mara kadhaa kuzuiliwa kufuta sigara nyota wa Arsenal Jack Wilshare ameendelea kukengeuka baada ya hivi karibuni kubambwa akifuta sigara akiwa na washkaji wenzake wakati wa mapmziko baada ya England kuondoshwa kwenye fainali za kombe la dunia hatua za makundi.
Zifuatazo ni baadhi ya picha zikimuonyesha kijana huyo Mbadidu akipiga fegi bila kujali kamera za wanahabari nchini England.
1.Hapa anavutishwa fegi na mwenzake.
Hapa ni mwezi wa 10 mwaka jana alipobambwa club moja ya usiku akivuta fegi yake.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment