Mabingwa
wa Hispania Atletico Madrid wametangaza kukamilisha usajili wa mchezaji wa
Bayern Munich, Mario Mandzukic kwa ada ya uhamisho wa paundi milioni 17 nukta
5.
Madrid
wamethitisha hayo katika tovuti yao kuwa tayari wamekamilisha usajili huo na
wanaamini atakuwa na mchango mkubwa katika klabu hiyo.
Manzukich
mwenye umri wa miaka 28 amesaini mkataba wa miaka 4 pia anatarajiwa kuchukua
nafasi ya mchezaji Diego Costa aliyejiunga na Chelsea hivi karibuni.
Mchezaji
huyo wa kimataifa wa Koresha ambaye alishiriki michuano ya kombe la dunia
inayoendelea nchini Brazil ameonekana kufurahia uamuzi huo wa kwenda kucheza
ligi kuu ya Hispania.
mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment