David Ospina
Wakati vita vya usajili vikiendelea kushika kasi
katika vilabu mbalimbali barani Ulaya,timu ya Arsenal imefanikiwa kuinasa saini
ya mlinda mlango wa kimataifa wa Colombia David Ospina kwa uhamisho wa euro
milioni 4.4.
Ospina mwenye umri wa miaka 25 anayeichezea timu ya OGC Nice amesaini mkataba wa miaka 4 na kwa hivi sasa bado yuko mapumzikoni baada ya kushiriki michuano ya kombe la duni iliyomalizika mapema mwezi huu nchini Brazil.
Mlinda mlango huyo ambaye alitoa mchango mkubwa katika timu ya taifa ya Colombia, baada ya kufuzu vipimo vya afya atakuwa akilipwa mshahara wa paundi elfu 60,000 kwa wiki.
Ospina amekuwa mchezaji wa tatu kusajiliwa na Asernal msimu huu baada ya kuwasajili kwa Alexis Sanchez na Mathieu Debuchy huku akitarajiwa kuleta changamoto kwa mlinda mlango nambari moja wa kikosi hicho Wojciech Szczesny.
David Ospina.
Mlindmlango namba 1 wa Arsenal Wojciech Szczesny.
Ospina mwenye umri wa miaka 25 anayeichezea timu ya OGC Nice amesaini mkataba wa miaka 4 na kwa hivi sasa bado yuko mapumzikoni baada ya kushiriki michuano ya kombe la duni iliyomalizika mapema mwezi huu nchini Brazil.
Mlinda mlango huyo ambaye alitoa mchango mkubwa katika timu ya taifa ya Colombia, baada ya kufuzu vipimo vya afya atakuwa akilipwa mshahara wa paundi elfu 60,000 kwa wiki.
Ospina amekuwa mchezaji wa tatu kusajiliwa na Asernal msimu huu baada ya kuwasajili kwa Alexis Sanchez na Mathieu Debuchy huku akitarajiwa kuleta changamoto kwa mlinda mlango nambari moja wa kikosi hicho Wojciech Szczesny.
David Ospina.
Mlindmlango namba 1 wa Arsenal Wojciech Szczesny.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment