Arturo Vidal.
Taarifa zilizoifikia
Mkule.blogsport.com zimearifu kuwa mshambuliaji wa Juventus Turin ya Italia
Arturo Vidal amefaulu vipimo vya afya tayari kwakutua rasmi Manchester United
ya nchini England.
Tayari Vidal
mwenye umri wa miaka 27 ameahidiwa kulipwa kiasi cha paundi laki mbili kwa
wiki cha mshahara na miamba hao wa soka wa nchini
Uingereza.
Hapa Vidal akiwasili katika uwanja wa mazoezi wa Manchester United Carrington, kwakufanyiwa vipimo vya afya.
Hapa Vidal akiwasili katika uwanja wa mazoezi wa Manchester United Carrington, kwakufanyiwa vipimo vya afya.
Endapo dili hili linalofanyika kwa siri litakamilika Vidal huenda akapewa jezi namba 7 ambayo imewahi kuvaliwa na wachezaji mbalimbali kwenye timu hiyo akiwemo Cristiano Ronaldo,David Bekham,Antonio Valencia,Michael Owen,George Best na Eric Cantona.
Kwasasa jezi hiyo haina mtu.
Habari zaidi zitaendelea kukujia hapahapa kupitia
Kwasasa jezi hiyo haina mtu.
Habari zaidi zitaendelea kukujia hapahapa kupitia
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment