Pages

Ads 468x60px

Thursday, July 31, 2014

BREAKING NEWZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ.





                                     Arturo Vidal.
Taarifa zilizoifikia Mkule.blogsport.com zimearifu kuwa mshambuliaji wa Juventus Turin ya Italia Arturo Vidal amefaulu vipimo vya afya tayari kwakutua rasmi Manchester United ya nchini England.
Tayari Vidal mwenye umri wa miaka 27 ameahidiwa kulipwa kiasi cha paundi laki mbili kwa wiki cha mshahara  na miamba hao wa soka wa nchini Uingereza.

 Hapa Vidal akiwasili katika uwanja wa mazoezi wa Manchester United Carrington, kwakufanyiwa vipimo vya afya.

Endapo dili hili linalofanyika kwa siri litakamilika Vidal huenda akapewa jezi namba 7 ambayo imewahi kuvaliwa na wachezaji mbalimbali kwenye timu hiyo akiwemo Cristiano Ronaldo,David Bekham,Antonio Valencia,Michael Owen,George Best na Eric Cantona.

Kwasasa jezi hiyo haina mtu.


Habari zaidi zitaendelea kukujia hapahapa kupitia 

                            Mkule.blogsport.com

No comments:

Post a Comment