Edin
Dzeco.
Mshabuliaji wa Manchester City Edin
Dzeco amesaini mktaba mpya wa miaka minne nasasa ataendelea kusalia Itihadi
Stedaum kwa muda mrefu zaidi tangu asajiliwe mwezi wakwanza mwaka 2011 akitokea
Wolfsburg ya Ujerumani.
Raia huyo wa Bosnia tangu ajiunge na
Mabingwa hao mara mbili wa ligi lkuu
ya England amefunga magoli 46 kwenye
michezo 109 ya ligi kuu na mara baada ya kusaini mkataba huo Dzeco amesema
anajisikia fuha kuendelea kubaki City.
Dzeco ambaye msimu wa 2012/2013 alifunga magoli 15 kwenye michezo 44
nakuibuka mfungaji bora wa timu hiyo amesema City anafarijika kuichezea timu hiyo na kufurahia
mafanikio yanayopatikana klabuni hapo.
Dzeco ambaye
ni miongoni mwa wachezaji wa Bosnia walioshiriki fainali za kombe la dunia
mwaka huu nchini Brazil kabla ya kusajiliwa na Manchester City akiwa Wolfsburg
aliweka historia ya kufunga magoli 66 kwenye michezo 111 ya Bundesliga.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment