Klabu ya Borussia Dortmund
uya Ujerumani imemteua mlinzi wa kati wa timu hiyo Mats Hummels kuwa nadhodha wa mpya atakekuwa akisaidiwa na Marco Reus pamoja na
Roman Weidenfeller.
Hummels mwenye umri wa
miaka 25 ameteuliwa na kocha mkuu wa kikosi hicho Jurgen Klopp licha ya nyota
huyo kuhusishwa na kuhamia Manchester United kwa siku kadhaa sasa.
Taarifa zimesema kuwa
uamuzi wa mlinzi huyo kupewa jukumu la unahodha linatokana na Sebastian
Kehl ambaye alikuwa nahodha kutangaza kutovaa tena kitambaa hicho kutokana
na kutocheza mara kwa mara.
Hummels ambaye leo ameshuhudia timu
yake ikufungwa magoli 4 kwa 0 na Liverpool kwenye mchezo wa kirafiki amepewa
jukumu hilo la unahodha siku tatu kabla ya timu yake kukutana na Bayern Munich
kwenye mchezo wa German Supercup.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment