Wakiwa na
vijana Wengi kwakiasi chao wameonyesha uwezo ambao si mbaya sana wala sio mzuri
sana.
Kibadeni na
benchi lake la ufundi wamejaribu kuisuka timu yenye vijana wengi diyo,wamejaribu
kutuonyesha kwanini walipanga kuileta Simba yenye sura mpya lakini bado pengo
la Kaseja limeonekana wazi huku Abeli Dhaira akioneka akishindwa kuhimili kashikashi.
Sikushangaa kuona
akifungwa magoli yakizembe licha ya safu ya ulinzi kujaribu kumfichia udhaifu
wake akiwa katika milingoti mitatu hali ambayo ilimfanya kocha mkuu Abdaah King
Kibaden kuonyesha hofu yake kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya wageni wa ligi
Ryhno Rangers ya Tabora.
Ushauri wangu kwa simba wasimfukuze kocha na benchi lake la ufundi kwakupata matokeo
yasioridhisha kwenye duru ya kwanza chamsingi wampe nafasi Kibadeni kuijenga
timu hiyo kwa kutumia uzoefu wake na taaluma yake ya ukocha.
Angalizo,Kamwe
asingiliwe na yeyote kwenye kazi yake,msemaji afanye kazi yake,katibu afanye
kazi yake,mwenyekiti naye afanye kazi yake kwakuzingatia katiba ya Simba.
Ni hayo tuu
Jamani…………………….
Posted by Yusuph Mkule.
No comments:
Post a Comment