Klabu ya soka ya Crystal Palace
imemteua kocha wa zamani wa Stoke City Tony Pulis kuwa kocha wao mpya kwa
mklataba wa miaka miwili na nusu.
Uteuzi wa Pulis mwenye umri wa miaka
55 unafuatia kufutwa kazi kwa aliyekuwa
kocha mkuu Ian Holloway aliyetimuliwa
oktoba 23 mwaka huu na nafasi yake kushikwa kwa muda na Selhurst Park.
Pulis anaichukua Crystal Palace
ikiwa na alama 6 na kibarua chake cha kwanza ni kuiongoza timu yake mpya ambayo
inacheza jioni hii na Hull City ambapo
Palace itakuwa ugenini kusaka alama tatu ambazo hata hivyo zawezi kuitoa timu hiyo
kwenye mstari wa kushuka daraja.
Kwasasa Crystal Palace ndito
inayoshika mkia kwenye msimamo wa ligi kuu ya nchini England kwakuwa na
alama 4 katika michezo 11 iliyocheza
ikishinda mchezo mmoja ikifungwa tiza na kutoka sare mchezo 1.
Posted by Yusuph Mkule.
No comments:
Post a Comment