Taarifa ambazo zimeifikia mkule.blogspot.com kutoka jijini Daresalaam zinasema kuwa klabu ya simba imemtangaza Zdravko Logarusic kuwa kocha mkuu wa timu hiyo kuchukua nafasi Abladah King Kibaden huku Joseph Itang'are Mzee Kinesi akiwa mwenyekiti mpya Simba.
Logarusic alikuwa akiifundisha timu ya Gor Mahia inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Kenya misimu miwili iliyopita.
mabadiliko hayo ni matokeo ya kikao cha jana cha kamati ya utendaji kilichoketi.taarifa zaidi zitaendelea kukujia baada ya kumalizika kwa kikao cha klabu hiyo na waandishi wa habari jijini humo.
No comments:
Post a Comment