Kikosi cha
Azam fc pamoja na kushika nafasi ya pili kwenye duru ya kwanza VPL naweza
kusema hawakustahili kuwa hapo,nasema
hivo kwasababu ukimuuliza shabiki yeyote wa soka timu ipi yenye kila kitu
nchini lazima atakujibu Azam fc.
Pamoja na
kuwa na kocha mzuri aliyeanza kulielewa vyema soka la ukanda wa Afrika ya
mashariki Sterwat Hall ambaye tayari ameshakatisha mkataba wa kuifundisha timu
hiyo bado siamini kwanini wameshindwa
kumaliza duru hii wakiwa wakwanza lakini
yote kwa yote ukweli wanaujua wao kwanini
hawakumaliza nafasi ya kwanza,ugumu wa ligi au kuna jambo lingine tusubiri duru ya lala salama watakujaje.
posted by Yusuph Mkule.
No comments:
Post a Comment