Pamoja
na kupata tiketi ya kucheza fainali za kombe la dunia mwakani England imeendelea kutambiriwa kutofanya vyema kwenye michuano
hiyo itakayofanyika nchini Brazil
kwakushirikisha mataifa mbalimbali.
Kauli
iliyotolewa na mchezaji wa zamani wa Manchester United Owen Hargreaves imemkariri raia huyo wa England akisema ni
vigumu kwa nchi hiyo kutwaa ubingwa wa dunia mwakani kutokuwa na kubadilika
kila mara.
Pamoja
na kuwa na wachezaji wazuri Hargreaves bado haipi nafasi England kushinda kombe hilo ambalo imelitwaaa mara
mmoja katika ardhi ya nyumbani mwaka 1966 licha ya kukisifia wachezaji wenye
uwezo kwenye timu hiyo.
Tangu
itolewe kwenye michuano ya kombe la mataifa ya Ulaya mwaka 2012 England
inayofundishwa na kocha Roy Hodgson
imepoteza mchezo mmoja kati ya 16 iliyocheza.
Posted by Yusuph Mkule.
No comments:
Post a Comment