Pages

Ads 468x60px

Monday, September 8, 2014

MARIN CILIC ATWAA TAJI LA US OPEN AKIMNYUKA MJAPAN KEI NISHKORI.



Marin Cilic

Mcheza Tenisi raia wa Croatia Marin Cilic amefanikiwa kutwaa taji la michuano ya wazi ya Marekani baada ya kumfunga mpinzani wake raia wa Japan Kei Nishikori ukiwa ni ushindi wa seti 6 kwa 3, 6kwa3, na  6 kwa 3  pambano lililodumu kwa saa moja na dakika 54.
Cilic amekuwa raia wa kwanza wa Croatia kutwaa taji hilo ambalo ni  miongoni mwa mataji manne  makubwa duniani  tangu mwaka 2001 ambapo Goran Ivanisevic alishinda taji la Wimbledon.
Akizungumza mara baada ya kushinda taji hilo Goran amesema amejisikia bfuraha kutwaa taji hilo ambalo alikuwa akilisaka miaka kadhaa iliyopita bila mafanikio  na hatimae mwaka huu ndoto yake imetimia.
Mchezajin huyo ambaye anashika nafasi ya 16 kwa ubora wa Tenisi duniani kwa  upande wa wanaume amesema anaamini amecheza vyema na hatimae kupata ushindi huo anaousherehekea na watu wake wa karibu.
Match stats
Marin Cilic

Kei Nishikori
Match time: 1hr 54mins
17
Aces
2
3
Double faults
1
52
1st serve %
51
80
1st serve win %
55
61
2nd serve win %
59
38
Winners
19
27
Unforced errors
30
5/11
Break points won
1/9

                                      Mkule.blogsport.com

No comments:

Post a Comment