Shirikisho la
soka la nchini Ufaransa limethibitisha kuwa mlinzi huyo mwenye umri wa miaka 28
ameenguliwa kikosini kutokana na kuumia kichwa kwenye pambano la jana la ligi
kuu ambapo Arsenal ilitoka sare ya goli 1 kwa1 na wapinzani wao.
Baada ya
kuachwa kwa Koscielny nafasi yake
imechukuliwa na nyota mpya wa Fc Barcelona Jeremy Mathieu ambaye amesajiliwa
msimu huu akitokea Valencia akiwa amecheza michezo miwili katika timu ya taifa.
Katika mchezo
wa jana mara baada ya kuumia kwa Koscielny ambaye aligongana na mchezaji wa Leicester
City Jeffrey Schlupp nafasi yake ilichukuliwa na Calum Chambers dakika ya
26.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment