Pages

Ads 468x60px

Monday, September 1, 2014

FALCAO,(THE TIGER) ALIVYOTUA OLD TRAFORD NDANI YA SAA 48 TANGU VAN GAAL ALIPOANZA KUIWINDA SAHIHI YAKE.



                    Kifaa kipya cha Mashetani wekundu Manchester United Radmel Falcao.
Mshambuliaji mpya wa klabu ya Manchester united raia wa Colombia Radmel Falcao amekabidhiwa jezi namba 9 baada ya kufaulu vipimo vya afya katika siku ya mwisho ya usajili wa wachezaji barani Ulaya.

Falcao ambaye amesajiliwa ajitokea Monaco ya Ufaransa amepewa jezi hiyo baada ya kukaa muda mrefu bila kuvaliwa tangu aicha Dimitar Berbatov ambaye alijiungaa na Fulham.

Miongoni mwa wachezaji waliowahi kuvaa jezi no,9 katika klabu ya Manchester United mbali na Berbatov  ni  Louis Saha, Andrew Cole na bBrian McClair.

Falcao mwenye umri wa miaka 28 ataitumikia United kwa mkopo wa mwaka mmoja huku kukiwepo kwa kipengele cha kuiruhusu timu hiyo ya jijini Manchester kumsajili mmoja kwa mmoja kwa ada ya paundi milioni 43.5.

Raia huyo wa Colombia ambaye alizikosa fainali za kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil kutokana na kuwa majeruhi mara baada ya kutua Man United amesema anajifikia furaha kuichezea klabu kubwa duniani hatakama kwa mkopo.

Falcao amesema anafurahi kucheza chini ya kocha Lois Van Gaal huku akiahidi kuitumikia klabu hiyo kwa mafanikio makubwa muda wote ataokuwa akicheza.
 Katika msimu huu wa usajili barani Ulaya klabu ya Manchester United ndiyo iliyoongoza kwa kutumia kiasi kikubwa cha pesa kikifuatiwa na kikosi cha Liverpool.

Usajili  uliokamilika katika siku ya mwisho msimuu huu kwa klabu za ligi kuu ya England.
Radamel Falcao - Monaco to Manchester United (season-long loan)
Michael Keane - Manchester United to Burnley (loan until January)

Nick Powell - Manchester United to Leicester (season-long loan)

Danny Welbeck - Manchester United to Arsenal (undisclosed)
Hatem Ben Arfa - Newcastle to Hull City (season-long loan)
Tom Lawrence – Manchester United to Leicester (£1 million)
Sadio Mane - Red Bull Salzburg to Southampton (undisclosed)
Kevin Doyle – Wolves to Crystal Palace (loan)
Krisztian Adorjan – Liverpool to Novara Calcio (undisclosed)
Toby Alderweireld – Atletico Madrid to Southampton (loan)
Morgan Amalfitano – Marseille to West Ham (undisclosed)
Niko Kranjcar - Dynamo Kiev to QPR (season-long loan)
Alvaro Negredo – Manchester City to Valencia (season-long loan)
Oussama Assiadi – Liverpool to Stoke City (season-long loan)
Gaston Ramirez – Southampton to Hull City (season-long loan)
Mapou Yanga-Mbiwa - Newcastle to Roma (season-long loan)
Sandro - Tottenham to QPR (undisclosed)
Micah Richards – Manchester City to Fiorentina (season-long loan)
James McArthur - Wigan Athletic to Crystal Palace (£7 million)
Ryo Miyaichi - Arsenal to FC Twente (season-long loan)
Zeki Fryers – Tottenham to Crystal Palace (£3 million)
Kris Scott – Swansea to Leicester (free)
Daley Blind - Ajax to Manchester United (£14 million)
Ricky Alvarez - Inter Milan to Sunderland (season-long loan)
Mohamed Diame - West Ham to Hull City (£3.5 million)
Sebastian Coates - Liverpool to Sunderland (season-long loan)
Lewis Holtby - Tottenham to Hamburg (season-long loan)
Abel Hernandez - Palermo to Hull City (£10 million)
Javier Hernandez - Man Utd to Real Madrid (season-long loan)
Brian Lenihan - Cork City to Hull City (undisclosed)
Karim El Ahmadi - Aston Villa to Feyenoord (undisclosed)
George Boyd - Hull City to Burnley (£3million)
Modou Barrow - Ostersunds FK to Swansea (undisclosed)
Modibo Diakite - Sunderland (released)
Tomislav Gomelt - Tottenham to Bari (loan)
Souleymane Coulibaly - Tottenham to Bari (undisclosed)
Marco van Ginkel - Chelsea to AC Milan (season-long loan)
Benjamin Stambouli - Montpellier to Tottenham (undisclosed)
Nathaniel Chalobah - Chelsea to Burnley (loan)
Valentin Roberge - Sunderland to Stade de Reims (season-long loan)
Jose Canas - Swansea to Espanyol (contract cancelled by mutual consent)
                                 Mkule.blogsport.com

No comments:

Post a Comment