Rais wa Guinea ya Ikweta Teodoro Obiang Nguema.
Rais wa
Guinea ya Ikweta Teodoro Obiang Nguema , amesema kuwa yeye mwenyewe atalipia
jumla ya tiketi elfu arobaini kwa ajili ya wapenzi wa soka nchini mwake ili
waweze kuhudhuria mechezo ya Kombe la Mataifa Afrika.
Michuano hiyo inayotarajiwa kuaza jumamosi,nchini humo ilitangazwa kufanyika nchini humo baada ya kuthibitishwa kuwa hayatafanyika nchini morocco iliyojitoa kutokana na tishio la ugonjwa wa ebola.
Rais Obiang amesema anaona ni wajibu wake na wengine wenye uwezo kununua tiketi jambo ambalo litatoa wito kwa mashabiki na kujaza viwanja watakatoa hamasa kwa timu shiriki.
Fainali za mataifa ya afrika mwaka huu zitaanza kutimua vumbi januari 17 na kumalizika februali 8 huku wenyeji wa michuano hiyo wakifungua dimba kwa kucheza na timu ya taifa ya congo.
Mkule.blogsport.com
Michuano hiyo inayotarajiwa kuaza jumamosi,nchini humo ilitangazwa kufanyika nchini humo baada ya kuthibitishwa kuwa hayatafanyika nchini morocco iliyojitoa kutokana na tishio la ugonjwa wa ebola.
Rais Obiang amesema anaona ni wajibu wake na wengine wenye uwezo kununua tiketi jambo ambalo litatoa wito kwa mashabiki na kujaza viwanja watakatoa hamasa kwa timu shiriki.
Fainali za mataifa ya afrika mwaka huu zitaanza kutimua vumbi januari 17 na kumalizika februali 8 huku wenyeji wa michuano hiyo wakifungua dimba kwa kucheza na timu ya taifa ya congo.
Mkule.blogsport.com
No comments:
Post a Comment